Wachangiaji katika kampuni ya uwekezaji ya NICO mwaka 2007 wakuwa katika wakati mgumu wa kutojua hatima ya hela zao walizo wekeza kutokana na kutokuwepo uwazi juu ya kampuni hii. Naomba wahisika wawaeleze wadau/wawekezaji juu ya kinachoendelea katika kampuni hiyo. naomba kuwasilisha.