LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Je? Ni sahihi kwa tabia na desturi yetu Watanzania kwa Mwanamke kumhalalisha mnyama yeyote na hata kuku? Hili nimeliona jana katika pilikapili ya kuufurahia mwaka mpya kwa jirani zangu mwanamke akilazimishwa na mumewe kuhalalisha kuku kwa ajili ya kitoweo na mwanamke alikataa katukatu na akidai tangu azaliwe hajawahi ona mwanamke akitenda hili.
Wadau! Je? Huyu mama alikuwa sahihi kukataa??
Wadau! Je? Huyu mama alikuwa sahihi kukataa??