Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 1,605
- 2,586
Nasikia ni waajiriwa First Lady from Bukoba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lete ushahidi , hatuwezi kukuacha hivi hivi au tukupuuze kisa unaishi BUGURUNI KWA MNYAMANI , tunaomba vielelezo , umbeya marufuku .
Wanaukumbi, naomba kuuliza hivi BEN SAANANE na YERICKO NYERERE wanafanya kazi gani inayo waingizia kipato chao cha siku. kwakua siwaamini, nisingependa wenyewe wanijibu.
Kazi yao ni kutumika katika kazi za UKUWADI wa siasa,majukumu yao makubwa ni kuwa vibaraka wa kudumu kwa Mbowe,Slaa na kupigania maslahi yao (Mbowe na Slaa) usiku na mchana.Kundi hili linajimuhisha pia volunteer kama Molemo,Mwita Maranya,Baba V,Mzito Kabwela,Mkirua n.k
kwako kwenye mission ya ku defend dr slaa na mbowe,wanapokea amri za kuwawekea watu sumu,tindikali na kutunga propaganda za kuwachafua viongozi ambao ni hatari(wanahatarisha maslahi) kwa maboss waoWanaukumbi, naomba kuuliza hivi BEN SAANANE na YERICKO NYERERE wanafanya kazi gani inayo waingizia kipato chao cha siku. kwakua siwaamini, nisingependa wenyewe wanijibu.
Wewe wanakuhusu nini, waache watumishi wa bwana wa fanye kazi yake
Tuambie kwanza wewe, unafanya ishu gani za kukuingizia kipato halali!