FITINA ZA KWELI
New Member
- Dec 8, 2010
- 2
- 0
Michango hiyo inapokelewa na Mweka Hazina wa Iringa Press Club kwa M Pesa, Tigo Pesa namba 0713654945 na Mjengwa Blog. Michango hiyo inaratibiwa vizuri na itafikishwa kwa mjane wa marehemu katika tarehe ambayo wadau wote mtajulishwa