Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
Kuna majina ya wadaiwa wa Bodi Ya Mikopo yamewekwa kwenye mtandao wa Bodi hiyo, cha kushangaza ni ubabaishaji wa watendaji wa taasisi kubwa na nyeti kama hiyo, kuonesha dhahiri kuwa hawana data kamili ya wadaiwa ambao hawajaanza kurudisha kabisa, wale ambao wanaendelea kurudisha, na wale ambao wameshamaliza madeni yao! baada ya kuyapitia majina hayo inaonekana wameorodhesha watu wengi ambao either wanaendelea kulipa ama wamemaliza kulipa wakiwaacha watu wachache sana!
Ni haibu kubwa kwa taifa, jinsi viongozi wetu wanavyobabaisha kazi! alafu wametoa mikwara kibao ya KIJINGA mno! Huyu Mkurugenzi Nyatega, ameshindwa kazi, kwanini asirudi kule kwao Rorya AKAVUE SAMAKI,
MANAKE hana lolote!
NCHI IMEOZA, KIASI KWAMBA, KILA KUKICHA KILA KIONGOZI ANAIBUKA NA LAKE BAADA!
Ni haibu kubwa kwa taifa, jinsi viongozi wetu wanavyobabaisha kazi! alafu wametoa mikwara kibao ya KIJINGA mno! Huyu Mkurugenzi Nyatega, ameshindwa kazi, kwanini asirudi kule kwao Rorya AKAVUE SAMAKI,
MANAKE hana lolote!
NCHI IMEOZA, KIASI KWAMBA, KILA KUKICHA KILA KIONGOZI ANAIBUKA NA LAKE BAADA!