Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,160
- 85,151
Mh mjumbe, hizo namba 9 ndio pogo zetu wazee. Hazinaga foleni...😂😂Mh mjumbe naona unajizolea pwenti tu..
Mh mjumbe, hizo namba 9 ndio pogo zetu wazee. Hazinaga foleni...😂😂Mh mjumbe naona unajizolea pwenti tu..
Mhh..yakwel haya mkuu??Kwanza wadada warembo Sana sio watamu kivile
Daaahh, umecheza kama Pele mh mjumbeMh mjumbe, hizo namba 9 ndio pogo zetu wazee. Hazinaga foleni...
🤣🤣🤣 Daaa!!! Umenimaliza nguvu!!Sina picha.. ni maumbo kama wakaka wabeba vyuma au kama unamjua John bravo!😂
Hawa wanaume wanachekesha sana. Ukimsemesha vizuri anahisi akikutongoza utamkubalia. Wanasemaga unajichekesha kwake.Vijana mna makasiriko sana na pisi kali shida ni nini? Ni inferiority complex inawasumbua au nini?
Mtu akishajua anavutia wanaume wengi lazima aweke ukuta akikutana na mwanaume anaeona anamtolea macho jamani na ni kawaida. Wanawake wenye muonekano wa kawaida tu huwaga wanaweka vizingiti ndo iwe anaejua asilimia kubwa wanamtamani?
Nimesoma comments nimegundua wengi mnawekaga mazingira ya mtongozo mkiona mdada haelekei mnaanza kujihami oooh alidhani nitamtongoza blah blah.
Halafu muache uoga kwa wadada wazuri hata wakiwavimbia mtaona kawaida tu hamtalinganisha kuvimba kwake na muonekano wake.
Nimesoma comment za wanaume wezangu hadi nimeskia uchungu,wanatia huruma sana.yaani wanaume tumekua soo weak kwa vitu vya kawaida.hawajiamini pia wanashobo ambazo hazina mpango pia hawawezi kuhandle beautiful women ndio maana hawawapati kwa sababu ya approach zao mbovu.Vijana mna makasiriko sana na pisi kali shida ni nini? Ni inferiority complex inawasumbua au nini?
Mtu akishajua anavutia wanaume wengi lazima aweke ukuta akikutana na mwanaume anaeona anamtolea macho jamani na ni kawaida. Wanawake wenye muonekano wa kawaida tu huwaga wanaweka vizingiti ndo iwe anaejua asilimia kubwa wanamtamani?
Nimesoma comments nimegundua wengi mnawekaga mazingira ya mtongozo mkiona mdada haelekei mnaanza kujihami oooh alidhani nitamtongoza blah blah.
Halafu muache uoga kwa wadada wazuri hata wakiwavimbia mtaona kawaida tu hamtalinganisha kuvimba kwake na muonekano wake.
Nadhani yale mazingira yakuona noti noti yanakuwa yanawachanganya
Ni huruma kwa kweli. Nawaza sana huko mtaani wanadate wanawake wa aina gani kama wanaogopa wanawake wazuri kwa kiasi hikiNimesoma comment za wanaume wezangu hadi nimeskia uchungu,wanatia huruma sana.yaani wanaume tumekua soo weak kwa vitu vya kawaida.hawajiamini pia wanashobo ambazo hazina mpango pia hawawezi kuhandle beautiful women ndio maana hawawapati kwa sababu ya approach zao mbovu.
Ndiwooooo ila hii inakuaga shida ya wanaume wasiojiaminiHawa wanaume wanachekesha sana. Ukimsemesha vizuri anahisi akikutongoza utamkubalia. Wanasemaga unajichekesha kwake.
Wasitusumbue. Wambuzi kwenda mbele.
Kabisaa. Wanaume wanaojielewa hawana huo ujinga.Ndiwooooo ila hii inakuaga shida ya wanaume wasiojiamini
Ndo umbo langu sasa😂🤣🤣🤣 Daaa!!! Umenimaliza nguvu!!
Vipi na wewe ni mmojawao wa wenye makalio?Hawa wanaume wanachekesha sana. Ukimsemesha vizuri anahisi akikutongoza utamkubalia. Wanasemaga unajichekesha kwake.
Wasitusumbue. Wambuzi kwenda mbele.
Yaani siku hizi nikitaka nicheke nakuja jf.Nkamu mbona kicheko
Why unajiexclude?Maskini wadada wazuri poleni si kwa kukandiwa hukuKosa lenu ni kuumbwa wazuri.
Endeleeni hivyo hivyo maana mkijilegeza kidogo tu imekula
kwenu
Yaani siku hizi nikitaka nicheke nakuja jf.