thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Daaah!! Wadada mnakwama wapi lakini?? Hivi huwa mnatafuta nn? Kwann tunaenda kinyume na uumbaji wa mwenyezi Mungu?? Wadada wenye hii tabia au ambao wanafikiria kufanya vitu kama hivi, hebu achaneni jamani!!
Point kubwa ni kuwa tujaribu kubaki katika hali ambayo tumezaliwa nayo, mengine tunajitafutia maradhi tu na laana kutoka kwa mwenyez Mungu!!
Point kubwa ni kuwa tujaribu kubaki katika hali ambayo tumezaliwa nayo, mengine tunajitafutia maradhi tu na laana kutoka kwa mwenyez Mungu!!