McNair
Senior Member
- Mar 18, 2017
- 182
- 130
Hahahahajahahahaha!!!
Bichwa kubwa Kama kavaa Helmet!
Hahahahajahahahaha!!!
Bichwa kubwa Kama kavaa Helmet!
itabidi nitafute msabatoYaani wanaume wa Jf wananishangaza... Wasichana wanaowaponda huku, wakienda mitaani ndo wanawakimbiza... Mdada akijisukia zake twende kilioni a.k.a mnyoosho wanamuona mshamba. Alafu huku wanalalama kutaka wadada natural!!!
Uje kama Fenela mkandalaYaani wanaume wa Jf wananishangaza... Wasichana wanaowaponda huku, wakienda mitaani ndo wanawakimbiza... Mdada akijisukia zake twende kilioni a.k.a mnyoosho wanamuona mshamba. Alafu huku wanalalama kutaka wadada natural!!!
Binafsi napenda natural hair
Kama ni wigi (kwa wale ambao hawajabahatika kuwa na Nywele ndefu) liwe Kama Nywele za asili na Sio makatani yaliyo pakwa rangi
Huo ni mtazamo wangu binafsi
Ukute wigi limepigwa jasho la maana. Huwezi msogelea. Ila hii style ya wadada kunyoa inanikosha sanaHaohao wavaa mawagi ndo mnawapenda msivunge hapa.
wavaa mawigi siwapendiHaohao wavaa mawagi ndo mnawapenda msivunge hapa.
Thubutu tukipita na tatu kichwa zetu mnatuita beki tatuwavaa mawigi siwapendi
Ila wakuu kuna comments zenu zinachekesha aicee
Bichwa kubwa Kama kavaa Helmet!
Mawigi mengine yananuka hasa tukipandaga daladala wanazingua sana na hiz nywele za marehem wa India
Mmmh basi usihalibu starehe za wenzio,wenzako wanayapendaBinafsi sijawah wapenda wapenda kwan huwa na ma bichwa makubwa mno hasa wakijiweka hiyo mi wigi kichwani... Yaan li bichwa linakuwa hilo kisa afanane na mzungu
mkiwa na nywele zenu original mnapendeza kuliko mawigi maana wengine mnapuliziaga miharufu gani sijui hiyo miwigiThubutu tukipita na tatu kichwa zetu mnatuita beki tatu
Wanaudhi sana.Mkuu nakushukuru Kwa mada Hii ya wingi,ni Jana tu nimepanda daladala,huku kwetu mkoani,ndani ya gari kulikuwa na Dada Wa kizungu,na Wa Dada Wa kiswahili,na Mimi nikajisemea moyon ngoja nione kati ya Dada mswahili na mzungu nani ataongea anatikisa kichwa,du Dada mswahili alitia fola Kwa kutikisa kichwa na manywere yake ya marehem Dada Wa kizungu hata habar hana,Dada alinikera sana,Dada zetu mubadilike,naona walikuwa wanatokea airport,thamin utanzania na uafrika wako acha kuwa mtumwa Wa mambo ya kuiga,Kwa wenye mapovu njoon,
Ha ha mwanaume anae kuzimia ata uvae kigagulo atakupenda tuThubutu tukipita na tatu kichwa zetu mnatuita beki tatu
Watu natural. Other wise umetamaniwa tu hujapendwa!ivi wanaume mnapenda nini hasa?
Ha ha ile pafyum inaharufu mbaya inaletakichefuchefumkiwa na nywele zenu original mnapendeza kuliko mawigi maana wengine mnapuliziaga miharufu gani sijui hiyo miwigi
Wakisasa wanapenda mikatani usidanganyike na comment zao hapa wanazuga tu.Ha ha mwanaume anae kuzimia ata uvae kigagulo atakupenda tu
Wakisasa wanapenda mikatani usidanganyike na comment zao hapa wanazuga tu.