Yah na mwanaume fundi sio wa kupush tuu.Vipi, unamudu dk 25 za zoezi? Hilo ni goli moja tu.
Yah na mwanaume fundi sio wa kupush tuu.Vipi, unamudu dk 25 za zoezi? Hilo ni goli moja tu.
Kwa Wazinifu ni jambo gumu sanaHii imezoeleka na sasa hivi imeshakuwa kama kawaida yetu wanaume wote kuambiwa tunapenda kutest mitambo hata kabla ya chochote kile,sawa tumekubali hii kwetu (hasa mimi) kukaa na wewe kama kaka na dada eti nasubiri siku ya ndoa ndio tukwichi kwichi Uvumilivu na ujinga huo sina. Nikae nasubiri siku ya ndoa ifike nije nikute hauna K (mi nitafanyaje).
Haya tutoke huko, leo naomba tu nyie wadada/wanawake muwe wakweli na mseme ile inayotoka chini ya uvungu wa nyoyo zenu, hivi ikitokea ukapata mpenzi (kama mnavyotaka) yule asietaka SEX kabisa kabla ya ndoa,akawa anakupa kila kitu,anakufanyia kila kitu yani hizi "material things" unapata zotee,upendo unapewa woteee ila/Lakini huyu jamaa yeye swala la sex ni NO,sababu yake ni 1 tu hataki kukuchezea mpaka atakapokuoa uwe mke wake.
hilo halitoshi,hata wakati wakuoga kila mtu anaoga peke ake, ukivaa anatoka nje anakuacha ndani uvae,akivaa yeye anakwambia toka nje AVAE yani hataki uone utupu wake wala yeye hayuko tayari kuona utupu WAKO.
Ladies naombeni leo mseme ukweli ukipata aina hiyo ya mwanaume, Utaweza vumilia kama atakavyo mpenzi wako huyo? au utafanyaje? hebu semeni tu ukweli na Jamaa ndio mmeanza mahusiano mna miezi mi 3 sasa, mipango yenu ya ndoa anakwambia ni itapofika 2022 ndio atakuoa kwa harusi kubwa na nzuri.
Hebu tuelezane hicho kipengele mnakimudu vipii? Uongo ni DHAMBI mkumbuke.
CONTROLA
Narudia tena, K yako INA joto sana ndio maana anakojoa dakika 1. Ingekuwa ya baridi angekojoa baada ya nusu saaIvi wee unajua kusoma!! Nimekwambia alikua anakojoa kwa dk 1 tuu maana yake sikuwahi kupiz nikiwa nae. Sasa ulitaka nivumilie nn??
Ahaa nimeelewa but yule alikiri mwenyewe ana matatizo..ni push.ups kumi tuu kamaliza.Narudia tena, K yako INA joto sana ndio maana anakojoa dakika 1. Ingekuwa ya baridi angekojoa baada ya nusu saa
Kwa wazinifu jambo la kujihifadhi hawaweziTukikuongelea wewe,unasemaje?
Unataka kusema wewe huwezi acha test mitambo si ndio kingunebeSa hvi so wanaume tu hata sis wanawake tunaogopa kwanza kupata mtu wa hvo sasa hvi ni ngumu otherwise kuna kitu,sasa nan anataka kuolewa anakutna na mtu hana nguvu za kiume n bora ujue mapema ili kama unamvumilia uamue wewe kuliko kukutana na kitu kama hcho alafu upo kwenye commitment
Ndo hvooUnataka kusema wewe huwezi acha test mitambo si ndio kingunebe
Atakachosema dota wako Heaven Sent hebu nitonye plzNgoja waje.
AbeeeeeeAtakachosema dota wako Heaven Sent hebu nitonye plz
Sijaona ulipojibuAbeeeeee
Sijaona ulipojibu
Hii imezoeleka na sasa hivi imeshakuwa kama kawaida yetu wanaume wote kuambiwa tunapenda kutest mitambo hata kabla ya chochote kile,sawa tumekubali hii kwetu (hasa mimi) kukaa na wewe kama kaka na dada eti nasubiri siku ya ndoa ndio tukwichi kwichi Uvumilivu na ujinga huo sina. Nikae nasubiri siku ya ndoa ifike nije nikute hauna K (mi nitafanyaje).
Haya tutoke huko, leo naomba tu nyie wadada/wanawake muwe wakweli na mseme ile inayotoka chini ya uvungu wa nyoyo zenu, hivi ikitokea ukapata mpenzi (kama mnavyotaka) yule asietaka SEX kabisa kabla ya ndoa,akawa anakupa kila kitu,anakufanyia kila kitu yani hizi "material things" unapata zotee,upendo unapewa woteee ila/Lakini huyu jamaa yeye swala la sex ni NO,sababu yake ni 1 tu hataki kukuchezea mpaka atakapokuoa uwe mke wake.
hilo halitoshi,hata wakati wakuoga kila mtu anaoga peke ake, ukivaa anatoka nje anakuacha ndani uvae,akivaa yeye anakwambia toka nje AVAE yani hataki uone utupu wake wala yeye hayuko tayari kuona utupu WAKO.
Ladies naombeni leo mseme ukweli ukipata aina hiyo ya mwanaume, Utaweza vumilia kama atakavyo mpenzi wako huyo? au utafanyaje? hebu semeni tu ukweli na Jamaa ndio mmeanza mahusiano mna miezi mi 3 sasa, mipango yenu ya ndoa anakwambia ni itapofika 2022 ndio atakuoa kwa harusi kubwa na nzuri.
Hebu tuelezane hicho kipengele mnakimudu vipii? Uongo ni DHAMBI mkumbuke.
CONTROLA
Inawezekana.Mwanamke nlianzisha nae relationship, wakati tunaanza akasema yeye hakuwa na mtu for like mwaka na nusu, which means hajasex mwaka na nusu. Relationship ikaendelea, nikaanza lipiga tunda lililokuwa bench mwaka mmoja na nusu, ishu ikaja sasa kapata kazi mkoani na saiv ana kama mwezi wa tatu analalamika nyege anataka nimfuate , swali nnalojiuliza miez mitatu kashindwa ku abstain ataweza mwaka na nusu, wanawake hawaeleweki, na ndio mana anamkataa jamaa alie singo anaenda kwa mshikaji mwenye wanawake saba na anaanza kulia lia