cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 83,354
- 134,166
Eti mwanaume mpe majukumu, huu upuuzi aliekupandikizia kakupoteza. Majukumu yetu tunayajua vyema.
Mwanaume ndiye kiumbe ambae kama hakupendi atakundanganyia pesa zake ili usipate muda wa kujiuliza kama anakupenda au lah!!. Na akishajua humfai pesa ataendelea kukupa ili akutumie kukidhi haja zake huku akiendelea pia kumjali anaempenda kwa dhati.
Na kwa akili hizi mtaendelea kupelekewa moto tu kwa vijisenti vya kawaida alafu ukijastuka muda umekuacha, Mwili umechoka, na unasifa mbaya. Ukishafika hapo huna budi kuvizia waume za watu tu.