Ndio we mzee bado nipo palepale kwenye ukidume wangu
Warembo tupo tumejaa kibaoWakuu!
Nimeona nyuzi kadhaa na comments kadhaa hapa jukwaani, zikilalamika sana juu ya wanaume kutumia ID za kike ili kupata umaarufu. Wengi wanasema Jf hakuna hii jinsia pendwa ya KE.
Ninaomba tufanye verification kidogo hapa, ili mambo yakae sawa.
Mimi nitawataja wadada waliopo humu ambao nina uhakika 100% ni wadada tena warembo! Wengine nimekutana nao wengine tumewasiliana tena kwa muda mrefu sasa na ni marafiki wazuri pia.
Hii itaondoa dhana nzima ya "jf wengi ni wanaume au hakuna wanawake"....
Kama unaona vyema pia, unaweza kuwaongezea wewe ila uwe na ushahidi!!
shansarie i know her very well
KOKUTONA
Honey Faith
Mamndenyi (namfahamu vyema.)
Valentina
marejesho
Preta (nina uhakika via Arushawing)
Heaven on Earth
Passion Lady
kan'tangaze
mamaafacebook
TUMBOO
angelita
lara 1
Lady doctor (kupitia Arushaone)
miss chagga
Madame B (tulishaongea mara kadhaa)
MMAHE
mwallu (rafiki wa muda mrefu).
atoto (well verified...)
.............
hao hapo nina uhakika kabisa ni KE.
Kuna wengine nimewasahau kidogo nikiwakumbuka...nitaendelea na verification.
Jf warembo wapo....
Ungetaja wanaume wenye ID za kike ingependezaKuweka taarifa sawa...wimbi la wanaume kujigeuza wadada linaongezeka jf
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
Pole sana mzee wa kilingeKaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
HahahaaaYani dawa zinafanya kazi mpaka stage ya pm baada ya hapo miyeyusho
Kama ni wewe kwenye hiyo Avatar yako bhasi ni mremboWarembo tupo tumejaa kibao
Evelyn salt
Hornet
Ichana
Geniveroz
Dinazarde
😅😅😅 Kamati ya ufundiMnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki
Mimi namjua dinazarde tuBadili tabia
Manka
Nanaa
Nikikumbuka ntarudii
We kaongoMimi namjua dinazarde tu
Kweli vile,namjuaWe kaongo
UnamjuajeKweli vile,namjua
Embu tumuone na sisiKweli vile,namjua