Wadada wanaokimbia ndoa zao na kwenda kuzaa nje, jifunzeni kwenye mgogoro wa Zari na Marehemu mumewe

wqnaume mnajua kujitetea

ila daima mwanamke kaumbiwa lawama na mwansume huwa anawekwa right side
katika ndoa mwanamke akifanya jema hapewi pongezi anatafutwa mume kisha anasifiwa
ila likitokea baya lililosababishwa na mwanaume moja kwa mojs atatajwa mwanamke ndie mbaya.

hivo wanaume wa humu mtuheshimu sana hamjui nini kinaozesha akili zetu kisa uvumilivu
hamtambui tunawazaa na kuwapigania muishi maisha borana sio bora maisha

endeleeni kuhujumu ila hamjui nini mwqnamke anawazia watoto wake.
 
Wanawake buana. Urithi kwa Ivan wakati ukulisubiria kwa Mondi. Ha ha haaaa..... Hawa viumbe si wenzetu hata kidogo
 
Mkuu mbona unafukunyua hivyo?? unafikiri ujibiwe kama ni single?
Pima maneno tu, utagundua kupitia hata herufi mbili.
Acha umbea.
Okay mi ni single mama, nna watoto watatu kila mmoja na baba ake... Agiza balimi unywe nmeongea ulichotaka kusikia.
Watu bana kujikuta unamjua mtuuu kumbe unajua avatar na fake name
 
Hakuna Ndoa Yenye Mateso Kama Mke Umejaliwa na Akili ya Utambuzi... Ukiona Ndoa ina Mateso basi Mwenye Tatizo na Mke au Mwanamke aliingia kwenye Ndoa bila Kujua Majukumu yake ni Yapi Ndani ya Ndoa...

Nipo Tayari kusahihishwa .... Ndoa Yote Inajengwa na Mwanamke siyo Mwanaume. Ukiona Ndoa ina Mateso Basi mwanamke anakasoro Nyingi
dah umemsema mtu mpaka naona kama unamuona
 
Kwani hao watoto wamepokonywa hizo Mali? Yaani mijitu inawaza Mali. Huyo Zari katangaziwa kwamba watoto watokosa hizo Mali za baba yao?
Wewe labda kama ni mgeni kwenye mambo ya mirathi..... NDUGU WA MWANAUME NA MALI ZA MAREHEMU NI KAMA FISI NA MZOGA
 
Hakuna Ndoa Yenye Mateso Kama Mke Umejaliwa na Akili ya Utambuzi... Ukiona Ndoa ina Mateso basi Mwenye Tatizo na Mke au Mwanamke aliingia kwenye Ndoa bila Kujua Majukumu yake ni Yapi Ndani ya Ndoa...

Nipo Tayari kusahihishwa .... Ndoa Yote Inajengwa na Mwanamke siyo Mwanaume. Ukiona Ndoa ina Mateso Basi mwanamke anakasoro Nyingi
Naomba nikuulize swali wewe mwanaume unaekomaa kumpa lawama mwanamke pale ndoa inapokuwa na migogoro. Nyie wanaume si ndo mlipewa akili nyingi kuliko wanawake? Nyie si ndo mlipewa mamlaka ya kutawala wanawake? Nyie si ndo vichwa vya familia? Nyie si ndo viongozi? Sasa inakuwaje mambo yakienda kombo msalaba wote mnamtupia mwanamke ambaye kila siku hamuishi kumsema humu kwamba hana akili,ni dhaifu, hajiwezi kwa lolote. nyie mliopewa akili na kila kitu hadi mamlaka ya kututawala mkapewa mnashindwa nini kufanya ndoa ikawa na amani? Hizo akili mnazojisifu kila siku mlipewa za nini? kwann mizigo yooote, lawama zote za dunia hii mnasukumizia huyo ambaye hamuishi kumnanga kila siku?
 
Hakuna Ndoa Yenye Mateso Kama Mke Umejaliwa na Akili ya Utambuzi... Ukiona Ndoa ina Mateso basi Mwenye Tatizo na Mke au Mwanamke aliingia kwenye Ndoa bila Kujua Majukumu yake ni Yapi Ndani ya Ndoa...

Nipo Tayari kusahihishwa .... Ndoa Yote Inajengwa na Mwanamke siyo Mwanaume. Ukiona Ndoa ina Mateso Basi mwanamke anakasoro Nyingi
Nimekubali wewe akili unazo mkuu.
 
Ndo
Hakuna Ndoa Yenye Mateso Kama Mke Umejaliwa na Akili ya Utambuzi... Ukiona Ndoa ina Mateso basi Mwenye Tatizo na Mke au Mwanamke aliingia kwenye Ndoa bila Kujua Majukumu yake ni Yapi Ndani ya Ndoa...

Nipo Tayari kusahihishwa .... Ndoa Yote Inajengwa na Mwanamke siyo Mwanaume. Ukiona Ndoa ina Mateso Basi mwanamke anakasoro Nyingi
Bangi bila chakula
 
Hapa wanawake wengi wanapapenda. Wanajificha mgongo wa watoto. Mali za wanandoa watoto Elimu. Je wewe uliondoka na mali za wazazi wako? Otherwise walifariki.
Ficha ujinga wako basi. Wanawake wajifunze ila wanaumr wasijifunze eehhh basi ndia itabidi iwe wanawake kwa wanawake. Ukizaa na kimeo ubaki tu ili ufe akuzike aoe kabla ya 40! Hapana kwakweli okoa roho yako mambo yakizidi kipimo.
Maisha aliyoishi Ivan kama darasa la saba kujionyesha tu sio. Zari hagombei mali wala hafanyi vibaya ila anatetea haki ya watoto wake. Mkigombana mkiwa mmezaa tena mna mali mlichuma mali ni za watoto
 
Back
Top Bottom