Kufa kufaanazamani ukimtumia hata buku mbili hapigi wala kukutumia meseji.siku hizi wamerudi kwenye mstari.
Na ndio kwanza mjomba anaiedit namba ili hata walioko mbali waione na waisome kwa ufasaha
Mahina tumepigwa screen,dvd player ya samsung na dekoda na saa 4 tu usiku unakabwa hatareeewizi utaanza kushamiri kitaa
Kabisa! Hasa nikifikiria siasa ya Tz nashikwa na mshtuko wa moyounamkimbia Baba *****?!
We acha tuSiasa za bongo hujui kesho kukicha utasikia lipi tupo kwenye.free style system
Ni mafanya kazi...Wewe unajishughulisha na nini!?