Mkuu kama ulijua kuna mwingine nilikuwa namfukuzia kitambo sana chenga nyingi nikaona isiwe shida nikajiengua, mwanzoni mwa wiki alipiga simu eti kunisalimia!!! cha kwanza niliomuomba uncle Magu kabla ya mungu nikatumia fursa nikala mzigo.sahiv ukitongoza unaulizwa utanioa
labda wa mtaani kwenu vilaxaHakuna ubishi kwamba hali ya maisha
Bongo imekuwa ngumu na ukakasi mara
BabaJesca alivyoanza kutoa mbinyo kila
kona,watu wanalia kimyakimyaa. wengine wametelekeza wake/michepuko kutokana na hali ngumu ya kiuchumi. huku BabaJesca akitoa kauli majuzi ya kuwa wanaolia njaa ni wale waliozoea kupata hela za bure(hapa ndio kundi la wanawake/wadada lipo).ni wahanga wakubwa wa utawala huu.
Uchunguzi nilioufanya ni kwamba asilimia kubwa ya wadada na kiasi kidogo wake za watu wasiojitambua wamenyooshwa na kuwa wadogo kama piritoni.hawana usumbufu kama ilivyokuwa katika utawala wa Baba Ritz. basically wako cheap and easy to get.
Naamini mbinyo huu ukiendelea soon wataanza wao kutupapatikia.
Hivyo wanaume ukiona Dada anatoa ushirikiano kiwango cha rami usijione wewe kuwa shababi/handsome/matawi sababu ni mnyoosho wa Baba ***** mtaani. Poleni wanawake na maendeleo.
Watakuibia hata mke ikibidiWataiba nini wakati sote tuko arosto?
huyo wako tu mkuu.hawana swaga hawa viumbe kwa sasaMkuu kama ulijua kuna mwingine nilikuwa namfukuzia kitambo sana chenga nyingi nikaona isiwe shida nikajiengua, mwanzoni mwa wiki alipiga simu eti kunisalimia!!! cha kwanza niliomuomba uncle Magu kabla ya mungu nikatumia fursa nikala mzigo.
Hata ukimtumia buku salio anakupigia kabisa na kushukuru.Wanatoa ushirikiano sana kwa sasa.kama kumsukuma mlevi.huhitaji kutoa jasho.