Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 622
Habari wazee,
Nipo kwenye foleni za hapa town muda huu, kama unavojua Dar es salaam barabara nyingi za hapa ni ile two ways in two ways out. Upande wangu wa kushoto kuna dada anaendesha IST nyeupe nashangaa kuona kila tukisogea kidogo anachukua ile wanapakaga mdomoni nyekundu anashusha kile kioo cha mbele anajipaka tena.
Kwani ile si huwa wanapakaa tu mara moja kwa siku wakitoka home huyu kama amefanya chakula/ analamba.
Wadada hii imekaaje?
Nipo kwenye foleni za hapa town muda huu, kama unavojua Dar es salaam barabara nyingi za hapa ni ile two ways in two ways out. Upande wangu wa kushoto kuna dada anaendesha IST nyeupe nashangaa kuona kila tukisogea kidogo anachukua ile wanapakaga mdomoni nyekundu anashusha kile kioo cha mbele anajipaka tena.
Kwani ile si huwa wanapakaa tu mara moja kwa siku wakitoka home huyu kama amefanya chakula/ analamba.
Wadada hii imekaaje?