ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
Mi nipo Moshi, knjaro...mji msafi, hakuna vumbe....clubing kama kawaida. Dar ni wapi hakuna vumbi? au tunaongelea vumbi gani?
Kumbe moshi hakuna vumbi?!lol .....
MP.
Mi nipo Moshi, knjaro...mji msafi, hakuna vumbe....clubing kama kawaida. Dar ni wapi hakuna vumbi? au tunaongelea vumbi gani?
Mi nipo Moshi, knjaro...mji msafi, hakuna vumbe....clubing kama kawaida. Dar ni wapi hakuna vumbi? au tunaongelea vumbi gani?
Pale ni mixa wanauza na kutapeli,ni wataalam sana wa kuwaibia wanaume,ukimchukua mkienda kula raha kwenye nyumba za kulala wageni,hakikisha humnyonyi chuchu na ukifunga mlango hakikisha unasogeza kitanda mlangoni,ili asije kutoroka na vitu vyako,UMENIPATA HAPO?