mkuu lubumbashi hawajambo
hata mimi Bataka kujua hili
Sitaki kabisa avae huo mjumba.
Kwanza wanaume wanaovaa suti, mara nyingi huwa wana matatizo ya kunuka miguu....eep:
Zinazotengenezwa na sheria Ngowi yes , siyo zile za Kariakoo zinabana kama skintight na kuvuta eneo la kati juu huku miguuni ikiiimba dont touch my shoes!
hapo madam B umenena kwanza vimiguu hutoa tuharufu sababu muda mwingi hufungiwa kabatini
haahahha...wewe utakua unakutana na wanasheria maana wanzungukiaga kwa miguu hizi mahakama hapa town mchana kutwa....kweli lazima wanuke miguu. Na zile suti nyeusi huwa wanapata shida sana...ila hawana jinsi maana ndio sharia lazima wavae.
Wewe nawe aghaaaa
Mmhhhh yeah lakn ivaliwe sehemu husika si kila mala unavaa suti,,,,,,,
hahahahahah hapa umezidisha chupi, boxer, pensi, suruali ya kitambaa afu ya suti tena hahahahahahahaah sipati picha mtembeo wake anavyo tanua miguu.Yaani utakuta mtu kavaa chupi, boksa, lipensi, suruali ya kitambaa halafu juu anavaa suruali ya suti.
juu ana vest, tisheti, halafu anatupia mkoti.
ukienda miguuni anavaa soksi mbili, moja imetoboka moja nzima, halafu kiatu.
.....sasa pata picha na joto la Dar....halafu atanue kwapa .....eep: eep:
hahahahahah hapa umezidisha chupi, boxer, pensi, suruali ya kitambaa afu ya suti tena hahahahahahahaah sipati picha mtembeo wake anavyo tanua miguu.