mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Hebu kama upo singo coment hapa ili watu tupate kujimwaya mwaya ebo.....uchoyo tu bana...my!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yale yaleeeeeeee,una sh ngapi benki Mkuu,jiandae kabisa na majibu maana utaulizwa sasa hivi,andaa na benki stetiment na balance sheet kabisa.halafu pia jiweke sawa kueleza kama una kabati la mbeo na stauti.
una miakili kama yangu.
Hahahaha mkuu nimekupata bt kwan ni long term bana..'
Vipi, unafanya kazi mgodi gani?
security wanlipwa vizuri sana migodini af pia wana deal nyingi sana mle.anaweza akawa mgodi flani lakini ni security guard.
una miakili kama yangu.
Kwani na wewe upo single? taarifa zasema upo double...
security wanlipwa vizuri sana migodini af pia wana deal nyingi sana mle.
pengine security wa mgodini anakipato kikubwa kuliko hata injinia.
wee, nipo single. Ngoja nitafte mchuchu humu.
anaweza akawa mgodi flani lakini ni security guard.
Labda sielewi...wakiwa wangapi ndio wanakufanya uwe single...
khaa! Kwa hiyo kapewa kalikizo akaona aje atumie! Ngoja aje atujibu ana tushilingi ngapi!
khaa! Kwa hiyo kapewa kalikizo akaona aje atumie! Ngoja aje atujibu ana tushilingi ngapi!
afu we ndo nakuvutiaga kasi....rizku fil manyati...lol
Hahahaha mshike adabu zenu nani security?? my!