Wadada smartphone ndio sitakazokuja kuwaoa

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Mar 29, 2015
347
587
Niaje wakuu
Jamani hizi smartphone zinaharibu watu jamani ngoja leo povu linitoke unakuta binti mzuri anashindwa kusalimia watu kisa tu yuko bize na simu yake maybe yuko insta snap au whatsapp hata ukimsalimia hakuitikii sijui ndo mashauzi au ulimbukeni

Halafu unakuta binti analalamika cjui nimelogwa kwanini sipati mwanaume wa kunioa hivi mnafikiri wanaume wakuoa wanapatikana insta au whatsapp wanaume wa kuoa ndio hao mnaopishana nao kila siku kwenye daladala na mizunguko ya kila aina halafu mnajifanya mko bize na masimu yenu
 
Niaje wakuu
Jamani hizi smartphone zinaharibu watu jamani ngoja leo povu linitoke unakuta binti mzuri anashindwa kusalimia watu kisa tu yuko bize na simu yake may be yuko insta snap au whatsapp hata ukimsalimia hakuitikii sijui ndo mashauzi au ulimbukeni alafu unakuta binti analalamika cjui nimelogwa kwanini sipati mwanaume wa kunioa hivi mnafikiri wanaume wakuoa wanapatika insta au wasup wanaume wa kuoa ndo hao mnaopishana nao kila siku kwenye daladala na mizunguko ya kila alafu mnajifanya mko bize na masimu yenu
We unasema binti, mbona ndo imekuwa kazi kwa wanawake waliolewa kiasi kwamba wanasahau hadi majukumu yao. Kuna hatari hizi smartphone zikajavunja ndoa sana tuendako.
 
Watawapatia huko huko kwa smartphone, whatsapp, snap chat, Facebook, instagram nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom