Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,724
- 3,490
Ubaya mademu unaokutana nao wew siyo kila mtu atakutana nao, ni heri uwachane mwenyew
Kitoweo kimejaa tele. Karibu sana KilindoniMzee wa Kilindoni salama? Vipi hapo kwenu kitoweo bado kinapatikana bure?
Rafiki yangu Rahim bado yupo pale Airport? George Kijazi?Kitoweo kimejaa tele. Karibu sana Kilindoni
Duuh!!Mzee wa Kilindoni salama? Vipi hapo kwenu kitoweo bado kinapatikana bure?
Niko jibondo nikirudi nitaenda kuwaonesha hii meseji pale airportRafiki yangu Rahim bado yupo pale Airport? George Kijazi?
Poa poa salimi watu wa Jibondo, kulikuwa na Mzee mmoja anitwa Shujai Faki atakuwa bado yupo uko?Niko jibondo nikirudi nitaenda kuwaonesha hii meseji pale airport
Kilindoni
Anaokoa muda ili aweze kwenda kuhudumia wateja wengine..Hii tabia nimeiona kwa wadada wengi. Mtu kakupanga muda mrefu kwa ajili ya kupigwa mti. Ajabu mnafika eneo la tukio, badala ya kuonyesha ufundi, hamasa na mahaba kwa mwanaume unaanza kulalamika muda wote wa tendo.
Malalamiko yenyewe hayana msingi wowote na ni ya kipuuzi.
Utasikia nimechelewa fanya haraka, kabla haijaingia uniumiza, dk 5 tu imetosha niende, mara hela yangu naomba Kila style hutaki Ni moja mwanzo mwisho na upuuzi kibao.
Ukiangalia dem mwenyewe mkongwe kwenye game. Kama hutaki si useme.
Na hii hutokea kwa madem ambao wala hafananii na tabia hizi. Outside dem yuko njema Kila idara.
Ukisikia mwambie na mwenzio
Washikaji au nakoseaaa???
Wahusika wenyewe wako hapa JF?
Duh!!!Sasa dawa yao ni kula ndogo mwanzo mwisho
Tena angekuja huku angekimbia na kiboxer chake.Waambie wao wenyewe live hukohuko I don't think kama Jf kuna wa2 kama hao
Labda hatoi helaMpaka akufanyie vituko hivo inamaana huna mshawasha