Wadada punguzeni malalamiko wakati wa sex

Kuna kuuziana kwa kukubaliana kabla

kuna kuuziana kwa kizinga vya baadaye

kuna kuuziana kwa kukopeshana

Na kuna kuuziana kwa kulipa in advance (Mahali)

Hiyo ya mwisho jamii imeiweka kama ndo heshima.. hizo zingine zina majina yake mfano UCHANGU, UMALLAYA ETC
hahahaha
 
Hii tabia nimeiona kwa wadada wengi. Mtu kakupanga muda mrefu kwa ajili ya kupigwa mti. Ajabu mnafika eneo la tukio, badala ya kuonyesha ufundi, hamasa na mahaba kwa mwanaume unaanza kulalamika muda wote wa tendo.

Malalamiko yenyewe hayana msingi wowote na ni ya kipuuzi.
Utasikia nimechelewa fanya haraka, kabla haijaingia uniumiza, dk 5 tu imetosha niende, mara hela yangu naomba Kila style hutaki Ni moja mwanzo mwisho na upuuzi kibao.

Ukiangalia dem mwenyewe mkongwe kwenye game. Kama hutaki si useme.
Na hii hutokea kwa madem ambao wala hafananii na tabia hizi. Outside dem yuko njema Kila idara.

Ukisikia mwambie na mwenzio
Washikaji au nakoseaaa???
Ukute humpi romance
 
Asanteni kwa michango yenu ya mawazo.
Sio kwamba madem wote nnaokutana nao ni kazi bure noo!! Baadhi yao, nadhani Kuna vidume wamekili hapa.
Pengine hizi tabia zpo maeneo fulanifulani. Lakini kwa kidume ambae Ni kitombi ashakutana na hi kitu. Haijalishi una hela anakupenda ama ujinga wowote. Amini hii kitu ipo sana na inakeraaa.
Binafsi sijawahi kununua dada poa au barmaid my friends. Kama hua unawapata wastaarab it's ok, endelea kusaka Kuna siku utatoa shuhuda hapa.
 
Kuna kuuziana kwa kukubaliana kabla

kuna kuuziana kwa kizinga vya baadaye

kuna kuuziana kwa kukopeshana

Na kuna kuuziana kwa kulipa in advance (Mahali)

Hiyo ya mwisho jamii imeiweka kama ndo heshima.. hizo zingine zina majina yake mfano UCHANGU, UMALLAYA ETC
Fonimu ni kipashio/kitamkwa kidogo cha kisarufi ambacho hutofautisha kile kilichotamkwa(andikwa) na kile kingalitamkwa/andikwa.

Hivyo kuna tofauti kubwa kati ya

mahaLi VS. mahaRi

kuLa VS. kuRa

kaLamu VS. kaRamu

Usipokuwa makini herufi/sauti moja tu yaweza kukupeleka motoni. Astaghafirullah!
 
Fonimu ni kipashio/kitamkwa kidogo cha kisarufi ambacho hutofautisha kile kilichotamkwa(andikwa) na kile kingalitamkwa/andikwa.

Hivyo kuna tofauti kubwa kati ya

mahaLi VS. mahaRi

kuLa VS. kuRa

kaLamu VS. kaRamu

Usipokuwa makini herufi/sauti moja tu yaweza kukupeleka motoni. Astaghafirullah!
Asante, pale kwenye TYPO, weka tu kinachostahili..
 
1. Hana hisia na wewe
2. Ana hisia na ww lakin ujui kumuanda vizuri
3. Ni mkavu ( anawai kupoteza natural lubricant mda mfupi tu game likiwa linaendelea)
4. Ana matatizo ya kiafya.

ACHA kununua malaya
 
Back
Top Bottom