Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
kuna dada hapa analalamika yeye kazoea kuvaa mitumba cunajua kwenda kunua kwenye boutique mpaka uwe na mpunga wa kutosha basi anavyodai mwenyewe akapata zali akaletewa jeans trouser ya ukwee bahati mbaya haikumtosha ikawa ndogo kurudisha akambiwa size yake hamna basi amekua akiulizia labda mtu anaweza akamuuzia hakuondoa hata label ansema ilinunuliwa sh 60000,sa jana akatembelewa na rafiki yake mwenye boutique akamwambia atampa akamuuzie au akiichukua yeye basi ampe hela au waexchange na nguo itakayomtosha kwenye boutique bada ya kula c unajua wageni ile anaondoka ndo bibie akakumbuka eeh ngoja nkakuletee ile trouser akaenda kumletea lol yule rafiki yake akamuambia asnte yani akijua kua amepewa bure sa bibiye kiroho kinamuuma anaogopa atakosana na huyo rafiki yake afanyaje amuachie rafiki yake ile trouser,amdai hebu msaidieni kiroho kinamuuma nawasilisha