...yes of cz...ni 7%.. ameizungumziaje... Mie bado sija ijarib ila wadada wanaipiga kama MTOGWA wa ULANZI...
WaliNazi anasema stimu inakuja fasta...mbili tu...chali...na haina mning'inio kiviile...nadhani pia sio chungu...
BTW napita hapa kwa MAMA KAMCHE i must take one to get the taste ...then i will come back to you.
WaliNazi anasema stimu inakuja fasta...mbili tu...chali...na haina mning'inio kiviile...nadhani pia sio chungu...
BTW napita hapa kwa MAMA KAMCHE i must take one to get the taste ...then i will come back to you.
WaliNazi anasema stimu inakuja fasta...mbili tu...chali...na haina mning'inio kiviile...nadhani pia sio chungu...
BTW napita hapa kwa MAMA KAMCHE i must take one to get the taste ...then i will come back to you.
.....sijui kwa sababu nilikunywa chupa kumi......
jaman nimepamic kwa mama kamche, c pale lufungiro au? BAGAH
Sio bia hata kidogo. Ni gin ile ambayo imekwisha changanywa na juisi au soda. Kwa kweli ina ladha ya utamu, ni kama soda hivi. So kwa wadada haina adha ya kukunja uso wakati wa kubugia.
Nipo hapa kwa mama kamche mbona sikuoni
aaaaagh......ni katamu tamu hivi....na kanakufanya unajisikia pembe.......lakini kesho yake......kichwa utadhani umebeba kilo mia 4 za mawe....khaaa.......
(sijui kwa sababu nilikunywa chupa kumi......)
WaliNazi anasema stimu inakuja fasta...mbili tu...chali...na haina mning'inio kiviile...nadhani pia sio chungu...
BTW napita hapa kwa MAMA KAMCHE i must take one to get the taste ...then i will come back to you.
... Wengi mwainywaa..
Whats up with it...? Je we mkaka umeijarib..?
Yesu wangu!!!! we Preta??!!!!