Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu,
Wadada kuna kitu huwa hamkijui lakini leo naomba mkijue.
Hivi wadada mshawahi kujiuliza ni kwanini mwanaume anaweza kukupiga kimoja tu alafu baada ya hapo akakwambia muvae maana anawahi kwenye kikao?
Au mshawahi kujiuliza ni kwanini mwanaume ana weza kukupiga siku moja tu alafu baada ya hapo ukimpigia simu yako hapokei tena?
Mdada hata ukiwa ni mzuri kiasi gani, hata ukiwa mweupe kama alimasi na hata kama ukiwa na umbo zuri kama Sanchoka utamu wako kwetu sisi wanaume huwa uko tu pale hujavua nguo zako, lakini utamu wako hunoga zaidi pale mwanaume anakuvulisha chupi lakini utamu zaidi huwa ni pale kwenye bao la kwanza tu baada ya hapo utamu wenu huisha kabisa.
Kwahiyo basi dada zetu wazuri na wenye maumbile mazuri mazuri naomba mjue kuwa sisi wanaume huwa tuna waona watamu na wazuri mkiwa mumevaa nguo na pale tunapopiga bao la kwanza lakini baada ya hapo huwa tunawaona wachungu na wachachu kama malimao tu.
Yaani kama nanasi huwa tamu sana ukiwa unalimenya na ukishalila lakini ukinywa maji huwa chungu kinoma.
Unaweza kutana na mdada mzuri kweli kuanzia sura hadi umbo ukamtamani hivyo kupelekea kumtungoza lakini cha ajabu ukipiga tu kimoja au ukipiga tu siku ya kwanza unamkinai mazima kabisa na uzuri wake wote.
Ni hayo tu mazee wenye kuongezea waongezee
BOY FROM LONDON
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu,
Wadada kuna kitu huwa hamkijui lakini leo naomba mkijue.
Hivi wadada mshawahi kujiuliza ni kwanini mwanaume anaweza kukupiga kimoja tu alafu baada ya hapo akakwambia muvae maana anawahi kwenye kikao?
Au mshawahi kujiuliza ni kwanini mwanaume ana weza kukupiga siku moja tu alafu baada ya hapo ukimpigia simu yako hapokei tena?
Mdada hata ukiwa ni mzuri kiasi gani, hata ukiwa mweupe kama alimasi na hata kama ukiwa na umbo zuri kama Sanchoka utamu wako kwetu sisi wanaume huwa uko tu pale hujavua nguo zako, lakini utamu wako hunoga zaidi pale mwanaume anakuvulisha chupi lakini utamu zaidi huwa ni pale kwenye bao la kwanza tu baada ya hapo utamu wenu huisha kabisa.
Kwahiyo basi dada zetu wazuri na wenye maumbile mazuri mazuri naomba mjue kuwa sisi wanaume huwa tuna waona watamu na wazuri mkiwa mumevaa nguo na pale tunapopiga bao la kwanza lakini baada ya hapo huwa tunawaona wachungu na wachachu kama malimao tu.
Yaani kama nanasi huwa tamu sana ukiwa unalimenya na ukishalila lakini ukinywa maji huwa chungu kinoma.
Unaweza kutana na mdada mzuri kweli kuanzia sura hadi umbo ukamtamani hivyo kupelekea kumtungoza lakini cha ajabu ukipiga tu kimoja au ukipiga tu siku ya kwanza unamkinai mazima kabisa na uzuri wake wote.
Ni hayo tu mazee wenye kuongezea waongezee
BOY FROM LONDON