Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
Hawa viumbe gharama yao kubwa ni smart phone.
Kila mmoja hataki kupitwa na usasa.
Kuna watu nimeshuhudia wakilazimishwa na wapenzi wao kununua hizi simu za kubofya kizenji kama unanawa. haki ya nani wengine wanagombana kabisa.
ukizubaa ujue hiyo smart phone ataipata kokote.
ukiwahonga smart phone ndo umemaliza kazi.
thamani ya miili yao wameithaminisha na smart phone.
kwa nini wadada ndio wanamiliki smart phone kwa wingi kuliko wakaka? wenzetu wanahongwa hizi simu.
hata asiye na uwezo wa kuinunua atapiga mizinga mabwana zake mpaka kieleweke ama ampate mmoja amnunulie.
smartphone ndio ugonjwa wa wasichana saizi. you want them? go for it.
Kila mmoja hataki kupitwa na usasa.
Kuna watu nimeshuhudia wakilazimishwa na wapenzi wao kununua hizi simu za kubofya kizenji kama unanawa. haki ya nani wengine wanagombana kabisa.
ukizubaa ujue hiyo smart phone ataipata kokote.
ukiwahonga smart phone ndo umemaliza kazi.
thamani ya miili yao wameithaminisha na smart phone.
kwa nini wadada ndio wanamiliki smart phone kwa wingi kuliko wakaka? wenzetu wanahongwa hizi simu.
hata asiye na uwezo wa kuinunua atapiga mizinga mabwana zake mpaka kieleweke ama ampate mmoja amnunulie.
smartphone ndio ugonjwa wa wasichana saizi. you want them? go for it.