Wadada na Kuchanganya Lugha wakati wa dating

Ila tabia ya kugusa gusa msosi sio nzuri na sio ustaarabu. Siwezi acha chakula hata mara moja, nikiona nmeshiba naomba wanifungie take away (nishafanya mara kadhaa) maana outing naipenda sababu ya msosi sasa nifike eneo la tukio nianze kugusa gusa tena! Hahaha haiwezekani

Hapa topic ni kuchanganya lugha au kugusa gusa msosi?
 
Ila tabia ya kugusa gusa msosi sio nzuri na sio ustaarabu. Siwezi acha chakula hata mara moja, nikiona nmeshiba naomba wanifungie take away (nishafanya mara kadhaa) maana outing naipenda sababu ya msosi sasa nifike eneo la tukio nianze kugusa gusa tena! Hahaha haiwezekani
Wanaogopa kuonekana wanapakia sana diko 😂😂😂 unamuagizia mtu sekela anadokoa dokoa paja na kuacha sehemu kubwa ya kuku haijaliwa kujifuta kona za mdomo na ka tissue kila saa kmmmke! Joti aliwahi kumchana demu kwamba ana uchafuzi wa hela kishenzi kwa sababu ya mambo ya kijinga kama hayo.😂😂😂

Sasa kimsingi chakula kimewekwa ili kiliwe we unaleta mapozi ya kishamba ili iweje. Mi nakutolea uvivu chap, ukijiadai kushiba navuta plate nagonga menu.
 
Mwanamke ni pambo, na hivyo vyote ni sehemu ya upambo wake. Unataka mwanamke awe kama mwanaume!!! Huwa napenda mwanamke anayenidekea, ananipa ujasiri sana wa kuona ninaaminika!
Kudeka sio kuchezea chakula, adeke mkiwa chumbani au ndani kwenu sio kuleta upuuzi mezani 😁
 
Huu utandawazi nao umekuja kufanya watu wanakuwa malimbukeni..

Unakutana na Mwanamke siku ya kwanza (kwa kawaida huwa wanapretend sana na kujifanya watakatifu) Anaongea viswahili viwili na viingereza vitano Mara oo " I think sitaki Kula Food ambayo sio my favourite" i always Take things positive yaani, Mimi sio that type of a girl"

Basi tu uzungu mwingi na "Aaaaaam nyingi" kabla ya kuongea..

Unashindwaje kuwa straight na kuongea kiutu uzima kama ni kiswahili ongea kiswahili... Kama unajiweza na kiingereza Basi iwe kiingereza..

Acheni maisha ya kwenye TV...Tunawapeleka sehemu nzuri mnajifanya kudokoa tu vyakula mnaacha kama vilivyo Na tumelipia zaidi ya 20k Kumbe mnaishi Kwa vitumbua na unga robo! Ishini kwa uhalisia Bwana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Point yako ya mwisho ndio nimeielewa zaidi, mpekele mtu sehemu inayoendana na kipato chako
Hivo viingeleza kwangu huwa havinibabaishi kabisa
mtu akijichanganya nampe ngeli full hd kama imetoka kwa malkia
Wengi flow hawawezi, mwishowe wanaishia kupiga swahili tu
 
Wanaogopa kuonekana wanapakia sana diko 😂😂😂 unamuagizia mtu sekela anadokoa dokoa paja na kuacha sehemu kubwa ya kuku haijaliwa kujifuta kona za mdomo na ka tissue kila saa kmmmke! Joti aliwahi kumchana demu kwamba ana uchafuzi wa hela kishenzi kwa sababu ya mambo ya kijinga kama hayo.😂😂😂

Sasa kimsingi chakula kimewekwa ili kiliwe we unaleta mapozi ya kishamba ili iweje. Mi nakutolea uvivu chap, ukijiadai kushiba navuta plate nagonga menu.
Unavuta plate😂😂 we noma. Ila sio fresh bana mtu katoa hela yake af unachezea chakula, kwanza me naona ni kama ushamba flani hv mtu akifanya hvyo.
Mtu mwingine next time hakutoi tena, ndo unakosa ofa za msosi kimasihara hiv hiv😂
 
Hahahah sindio mambo za ki slay queen hizo!
Unavuta plate😂😂 we noma. Ila sio fresh bana mtu katoa hela yake af unachezea chakula, kwanza me naona ni kama ushamba flani hv mtu akifanya hvyo.
Mtu mwingine next time hakutoi tena, ndo unakosa ofa za msosi kimasihara hiv hiv😂
 
Back
Top Bottom