Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Ila tabia ya kugusa gusa msosi sio nzuri na sio ustaarabu. Siwezi acha chakula hata mara moja, nikiona nmeshiba naomba wanifungie take away (nishafanya mara kadhaa) maana outing naipenda sababu ya msosi sasa nifike eneo la tukio nianze kugusa gusa tena! Hahaha haiwezekani
Hapa topic ni kuchanganya lugha au kugusa gusa msosi?