Hii tabia imekithiri haswa kwa wadada wa mijini
Uko jikoni unapika mara unaongea na simu, Mara unachat txt., Mara Uko kwenye tv , mara unafumua nywele, Mara umeshaingia chumbani chakula umeacha jikoni,,
Mwishowe unaharibu ..
Mbadilike ,!!
Tulieni jikoni wakati mnapika
Uko jikoni unapika mara unaongea na simu, Mara unachat txt., Mara Uko kwenye tv , mara unafumua nywele, Mara umeshaingia chumbani chakula umeacha jikoni,,
Mwishowe unaharibu ..
Mbadilike ,!!
Tulieni jikoni wakati mnapika