GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Mtu ana Shida zake za Kiafya pangine kwa 'Urijali' wake na kuwa Mwanamume 'Shujaa' kwa bahati mbaya kapata Moja ya Magonjwa ya 'Zinaa' ambayo kwa Mwanaume aliyekamilika ni lazima awe anayapata angalau mara Tatu au Nne kwa Mwaka akaamua kwenda Duka la Dawa ili apate 'Dawa' apone na aendelee 'Kungonoka' zake anakutana na Wadada wa 'Famasi' na Maswali yao haya ya Kukera....
1. Kwanini sasa Usioe tu Kaka yangu?
2. Condoms hukuziona?
3. Unahisi hili Gono au hii Kaswende yako uliipata katika Bao la Kwanza au la Tatu?
4. Una Wanawake wangapi mpaka sasa nje ya Mkeo?
5. Utarudia tena Kufanya Ngono zembe?
6. Kwani Matangazo ya Kujikinga na Maambukizi haya katika Radio na Runinga huwa hamuyasikii na hamuyatizami au?
7. Nikikutafutia Mwanamke Mtulivu utatulia na Kumuoa au?
Jukumu lako Kuu Wewe Mteja (Mgonjwa) akija hapo Dukani (Famasi) Kwako ni kumpa tu Tiba (Dawa) aende zake, na siyo Kumuhoji Kisanifu.
1. Kwanini sasa Usioe tu Kaka yangu?
2. Condoms hukuziona?
3. Unahisi hili Gono au hii Kaswende yako uliipata katika Bao la Kwanza au la Tatu?
4. Una Wanawake wangapi mpaka sasa nje ya Mkeo?
5. Utarudia tena Kufanya Ngono zembe?
6. Kwani Matangazo ya Kujikinga na Maambukizi haya katika Radio na Runinga huwa hamuyasikii na hamuyatizami au?
7. Nikikutafutia Mwanamke Mtulivu utatulia na Kumuoa au?
Jukumu lako Kuu Wewe Mteja (Mgonjwa) akija hapo Dukani (Famasi) Kwako ni kumpa tu Tiba (Dawa) aende zake, na siyo Kumuhoji Kisanifu.