Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Baadhi ya wanawake (siyo wote), wamekuwa na tabia inayokera sana wakati wa kugegedana, unamuomba akae hivi yeye anakuwa mkali, anakupangia masharti namna ya kumgegeda, kiukweli inakera sana. Katika pitapita, nikakutana na huyu mhenga ambaye licha ya kuwa na umri wa miaka 75, bado yupo fiti, na amefanikiwa kuopoa kifaa chenye miaka 60 baada ya kuridhishwa na ushirikiano, msikilize.