KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Hivi nikwamba bila kutoa ze nidful wakati mmekorofishana na mwenzi wako bifu haliishi nikwanini??Iwe kwa mume/mkee nini kipo katika hizi tool??Maana mwanmme akikasirika akipewa tool magoti yanaregea!Mke akiwa kanuna akipewa Bunduki utasika i love you honney ila usirudie tena wakati wamekuja washauri wapi pengine hata babake!!Msimamo niuleule lakini mungu wangu kikipita katikati ya mapaja maneno yanakuwa yameisha!:A S tongue: