dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,406
- 19,427
Kama naona wazee huko pm
Wakichangamkia fursa
Wakichangamkia fursa
ndo tunatongozana muafaka bado
Ili tukigombana kidogo tu mnakuja kuleta mrejesho kama sijui kibamia kimefanyeje, Mara Mwanaume wa daresalama, etc....
Maana mkiamuaga kutukomalia
Unafanya tafiti ?mambo.nani amewahi kupata mpenzi humu?
Acha woga kajaribu uko
heeeeHakuna ila wapo wanaopata tabu sana maana kuna watu wasiojulikana wengi humu jamvini
asante nasoma sasahiviSoma kuhusu hawa Habibu B. Anga na Nifah wamekutana humu na kuna historia yao, couple zingine humu ni mtu mmoja sema ana ID ya ME na KE