fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
Kweli kabsa angemruhusu iLi ajifunze vzr lazma angeshikwa na aibuUlikosea kwa kutokumpa funzo! Ilitakiwa umwambie mlinzi amuachie apite hapo angejisikia vibaya zaidi na angejiona mwenye hatia ikawa funzo kwake siku nyengine.