Wadada mkiolewa acheni kuwaponda waume zenu kwa michepuko yenu ya zamani,waheshimuni waume zenu

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Waungwana wa MMU

Kuna hii tabia ya wanawake wa kileo kuwaponda waume zao juu ya madhaifu yao kunako 6×6

Mara hop mme wangu tangu anioe mvivu sana hajanikojolesha,Mara goli moja tu kachoka Mara hajui game

Hii ni tabia mbovu kumsema mmeo kwa mchepuko wako wa zamani

Leo nlikua nachat na demu wangu wa zamani,yule demu ananikubali kutokana na show nliyokua nampiga ,sasa keshaolewa ila daily akiwa peke ake ananitafuta tunaanza kuchat na anapenda kuleta story za siku ya nyuma jinsi nliyokuwa nampiga mkuyati

Leo kanifungukia udhaifu wa bwanake ambaye ni mjeda eti jamaa ni dhahifu mno yani goli moja jamaa kachoka,akadai anakumbuka sana show yangu na yupo tayari kunipa popote pale tutakapokutana

Mi nkamuuliza mmeo si mjeda mtu wa mazoezi inakuaje anakugusa gusa tu anakuacha na nyege zako !? Akanijibu jamaa mchovu sana

Demu analalamika tangu akutane na jamaa hajawahi kukojoleshwa kama nilivyokua namkojolesha,yupo tayari kunitunuku tena papuchi siku tukikutana

Sasa wadada hivi ndo tabia yenu hii kutuponda kwa hao michepuko yenu ya zamani? Kama kweli alikua anakukojolesha hadi Papuchi inapwita kwa nini usingeolewa na huyo hawara yako wa mwanzo!?? Unaingia kwenye ndoa unaanza kukumbuka show za zamani za hawara yako na kuanza kumponda mmeo,sio poa na mjue nyie wadada wa siku hizi ndo mnachangia kwa % kubwa waume ndani ya ndoa wapige goli moja tena less than a minute then walale wasiwe na hamu tena kutokana na nyie kuwa wavivu na ubinafsi kutaka kila kitu aanze kukifanya mwanaume kunako kitandani

Wadada badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waungwana wa MMU

Kuna hii tabia ya wanawake wa kileo kuwaponda waume zao juu ya madhaifu yao kunako 6×6

Mara hop mme wangu tangu anioe mvivu sana hajanikojolesha,Mara goli moja tu kachoka Mara hajui game

Hii ni tabia mbovu kumsema mmeo kwa mchepuko wako wa zamani

Leo nlikua nachat na demu wangu wa zamani,yule demu ananikubali kutokana na show nliyokua nampiga ,sasa keshaolewa ila daily akiwa peke ake ananitafuta tunaanza kuchat na anapenda kuleta story za siku ya nyuma jinsi nliyokuwa nampiga mkuyati

Leo kanifungukia udhaifu wa bwanake ambaye ni mjeda eti jamaa ni dhahifu mno yani goli moja jamaa kachoka,akadai anakumbuka sana show yangu na yupo tayari kunipa popote pale tutakapokutana

Mi nkamuuliza mmeo si mjeda mtu wa mazoezi inakuaje anakugusa gusa tu anakuacha na nyege zako !? Akanijibu jamaa mchovu sana

Demu analalamika tangu akutane na jamaa hajawahi kukojoleshwa kama nilivyokua namkojolesha,yupo tayari kunitunuku tena papuchi siku tukikutana

Sasa wadada hivi ndo tabia yenu hii kutuponda kwa hao michepuko yenu ya zamani? Kama kweli alikua anakukojolesha hadi Papuchi inapwita kwa nini usingeolewa na huyo hawara yako wa mwanzo!?? Unaingia kwenye ndoa unaanza kukumbuka show za zamani za hawara yako na kuanza kumponda mmeo,sio poa na mjue nyie wadada wa siku hizi ndo mnachangia kwa % kubwa waume ndani ya ndoa wapige goli moja tena less than a minute then walale wasiwe na hamu tena kutokana na nyie kuwa wavivu na ubinafsi kutaka kila kitu aanze kukifanya mwanaume kunako kitandani

Wadada badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake waongo akipata mpya anampoda wa jana usifikilie kwa wewe ni kiboko hapana kunasehemu alikuponda pia....."every man is a hero btn the legs of a woman"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wadada wa siku hizi ndo mnachangia kwa % kubwa waume ndani ya ndoa wapige goli moja tena less than a minute then walale wasiwe na hamu tena kutokana na nyie kuwa wavivu na ubinafsi kutaka kila kitu aanze kukifanya mwanaume kunako kitandani
Hapo ndio katika point kabisa
 
Waungwana wa MMU

Kuna hii tabia ya wanawake wa kileo kuwaponda waume zao juu ya madhaifu yao kunako 6×6

Mara hop mme wangu tangu anioe mvivu sana hajanikojolesha,Mara goli moja tu kachoka Mara hajui game

Hii ni tabia mbovu kumsema mmeo kwa mchepuko wako wa zamani

Leo nlikua nachat na demu wangu wa zamani,yule demu ananikubali kutokana na show nliyokua nampiga ,sasa keshaolewa ila daily akiwa peke ake ananitafuta tunaanza kuchat na anapenda kuleta story za siku ya nyuma jinsi nliyokuwa nampiga mkuyati

Leo kanifungukia udhaifu wa bwanake ambaye ni mjeda eti jamaa ni dhahifu mno yani goli moja jamaa kachoka,akadai anakumbuka sana show yangu na yupo tayari kunipa popote pale tutakapokutana

Mi nkamuuliza mmeo si mjeda mtu wa mazoezi inakuaje anakugusa gusa tu anakuacha na nyege zako !? Akanijibu jamaa mchovu sana

Demu analalamika tangu akutane na jamaa hajawahi kukojoleshwa kama nilivyokua namkojolesha,yupo tayari kunitunuku tena papuchi siku tukikutana

Sasa wadada hivi ndo tabia yenu hii kutuponda kwa hao michepuko yenu ya zamani? Kama kweli alikua anakukojolesha hadi Papuchi inapwita kwa nini usingeolewa na huyo hawara yako wa mwanzo!?? Unaingia kwenye ndoa unaanza kukumbuka show za zamani za hawara yako na kuanza kumponda mmeo,sio poa na mjue nyie wadada wa siku hizi ndo mnachangia kwa % kubwa waume ndani ya ndoa wapige goli moja tena less than a minute then walale wasiwe na hamu tena kutokana na nyie kuwa wavivu na ubinafsi kutaka kila kitu aanze kukifanya mwanaume kunako kitandani

Wadada badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka fulani nilikuwa mahali fulani kuna muhuni alikuwa akimchukua mke wa mpiganaji kilochofuata mtego wa fumanizi wakanasa mwanaume alizikwa mzima mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana kuoa aliyekuwa na bikra yasingetokea
Unamfundisha mwenyewe hajui chochote
Sasa hawa waliokutana na wahuni wakapigwa Show ya kibabe halafu ujipendekeze kuoa ndio matokeo Yake kusemwa vibaya Kwa jamaa Wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wadada hivi ndo tabia yenu hii kutuponda kwa hao michepuko yenu ya zamani? Kama kweli alikua anakukojolesha hadi Papuchi inapwita kwa nini usingeolewa na huyo hawara yako wa mwanzo!?? Unaingia kwenye ndoa unaanza kukumbuka show za zamani za hawara yako na kuanza kumponda mmeo,sio poa na mjue nyie wadada wa siku hizi ndo mnachangia kwa % kubwa waume ndani ya ndoa wapige goli moja tena less than a minute then walale wasiwe na hamu tena kutokana na nyie kuwa wavivu na ubinafsi kutaka kila kitu aanze kukifanya mwanaume kunako kitandani

Wadada badilikeni.
Sent using Jamii Forums mobile app

Nilitegemea hii kauli umemwambia huyo mdada.....kumbe umemkubalia ombi lake. Naona uzi wako umekosa mashiko kwa kumkubalia kwako ingawa ujumbe umefika kwa wengine
 
Back
Top Bottom