Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Kwa ushauri wangu kaka usije ukamsaidia Huyu shetani kuomba msamaha, inatakiwa uwe upande wa rafiki yako ,hakikisha Huyo bibie anapita mbali na jamaa
Nimefungia vioo sitaki hata kusikia aliniacha nikiwa sina jambo, saivi Mungu mwema Nina kazi na vipesa kidogo nianze kulea mtoto wa kidume mwenzangu alienipora mpenzi. Hiyo pesa bora nimtumie mama yangu akacheze vikobaHaaah kweli karma anapita kwenye mlango