LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,170
Tujadili hili swala la wanawake kila wanapoitwa na wanaume zao huwa wanadai watumiwe nauli ila wakisikia upo na mchepuko hata uwe kigoma atapanda hata Fastjet faster tena kwa nauli yake kuja kufumania.
Hii tabia ni ya kukemewa na wanaume wote tunaoumizwa na hili.
Hii tabia ni ya kukemewa na wanaume wote tunaoumizwa na hili.