Wadada jitahidini kupaka mafuta makalio yenu

Hilo gonjwa liko upande wa pili kwa wanawake wala halipo hivyo tuacheni. Tulio wengi tukitoka kuoga mpaka mwili mzima uenee mafuta ndio tunaanza kuvaa nguo.

Upande wa pili ndio hii shida imeshamiri yaani unaweza ona mwanaume kapauka kuanzia uso, midomo mpaka viganja vya mikono sasa kama huyo unadhani atakuwa kakumbuka kupaka kalio mafuta kweli.

Penye ukweli usemwe na sio kila siku kulalia upande mmoja.
 
Hilo gonjwa liko upande wa pili kwa wanawake wala halipo hivyo tuacheni. Tulio wengi tukitoka kuoga mpaka mwili mzima uenee mafuta ndio tunaanza kuvaa nguo.

Upande wa pili ndio mna hiyo shida yaani unaweza ona mwanaume kapauka kuanzia uso, midomo mpaka viganja vya mikono sasa kama huyo unadhani atakuwa kakumbuka kupaka kalio mafuta kweli.

Penye ukweli usemwe na sio kila siku kulalia upande mmoja.
Dongo limekupata....
 
Hilo gonjwa liko upande wa pili kwa wanawake wala halipo hivyo tuacheni. Tulio wengi tukitoka kuoga mpaka mwili mzima uenee mafuta ndio tunaanza kuvaa nguo.

Upande wa pili ndio mna hiyo shida yaani unaweza ona mwanaume kapauka kuanzia uso, midomo mpaka viganja vya mikono sasa kama huyo unadhani atakuwa kakumbuka kupaka kalio mafuta kweli.

Penye ukweli usemwe na sio kila siku kulalia upande mmoja.
Jaribu kuheshimu baba zako, huku shamba baada ya kujisaidia tunajisafisha kwa majani ya miti sasa ukipaka mafuta yakawa laini utachanwa sana.
 
Jaribu kuheshimu baba zako, huku shamba baada ya kujisaidia tunajisafisha kwa majani ya miti sasa ukipaka mafuta yakawa laini utachanwa sana.
Hahaaaa. Hivyo baba kudharauliwa ni vibaya ila ikiwa mama ni sawa. mmmhhh.

Inatakiwa mzani ubalance kwa sababu wote wanawake kwa wanaume kuna ambao hicho kitu hawakifanyi.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom