Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?

Wife hataki kabisa kusikia haya mambo. Bro natafuta mmoja wa kufanya training
Piga kibiriti..Mi nilishavichoma tangu nianze biashara ya vifuniko..

Training tunaanzia kwa wake zetu..Haina haja ya kupoteza pesa..

Yeah..Tufungue na Massage center
 
Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa bonge ya mini ,mapaja yote yako wazi alafu kakaa sehemu ya wazi kila anayepita anamuona ......
Siyo poa! Tubadilike
Kwamba siku hizi wanawake wamekuwa wavivu kiasi cha kulipa mtu awasafishe miguu? Wanaume muwe mnawa massage wake zenu mara mojamoja, maana ndicho wanacho wafanya wafanye hizi taratibu hatarishi.
 
Ungemfata pale pale ukamwambia haya maneno..
Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa bonge ya mini ,mapaja yote yako wazi alafu kakaa sehemu ya wazi kila anayepita anamuona ......
Siyo poa! Tubadilike
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom