joshely
Member
- Nov 25, 2017
- 54
- 62
sifanyagi...hata ukitumia mlongo mazimaSio yote....Mengine unakuta jamaaa anakubembelezaaa mnooo we hutaki..mwisho unaanza kumuonea "huruma Mkaka wa watu"
sifanyagi...hata ukitumia mlongo mazimaSio yote....Mengine unakuta jamaaa anakubembelezaaa mnooo we hutaki..mwisho unaanza kumuonea "huruma Mkaka wa watu"
FarangaKilichopo ni kipi?
You brighten up my day everytime I see ur komentiiiiiiiFaranga
Ok Ok,ina maana hakuna kuangalia Mvuto wa Sura/Physical appearance ya Mtu?Faranga
Anakutongoza huku Akiwa na HELA Pia....na MITOKO Mingi humuonei huruma Mkaka wa Watu kuwa ametumia muda wake na Fedha zake kwa ajili yako?sifanyagi...hata ukitumia mlongo mazima
Simple tuu, hakuna mwanaume kwenye pesa ambae hamfikishi mwanamke kileleni. Fanya utafiti.Ok Ok,ina maana hakuna kuangalia Mvuto wa Sura/Physical appearance ya Mtu?
Ina maana hata Bambo akiwa na Faranga anakula tunda? wewe hujawahi Mtamani Mwanaume?
Je Ukisikia kuwa Mwanaume flani say wa Rafiki yako Boyfriedn wake Anamfikisha sana sana kileleni mchumba wako ambae
labda ni Shosti yako...wakati wewe wako ana hela lakini wala hakufikishi Kileleni..huwezi Tamani ??
luckyline
We unapenda Pole Pole...?Simple tuu, hakuna mwanaume kwenye pesa ambae hamfikishi mwanamke kileleni. Fanya utafiti.
Kwa sababu:
Mwanaume kwenye pesa hatumii nguvu kumkomoa mwanamke anafanya poleplee na mwanamke anafika.
Mwanaume ambae hana pesa ni kujitututumua tuu, Mara magori, 7 Leo namkoa chukuli chukuli chukuli kumbe hakuna kitu, uchoyo, maana hana pesa anajua mwanamke kesho harudi, basi akimpataaaa ni kujitutumua, mwisho hakuna alichofanya.nyoooo!
DuhWe unapenda Pole Pole...?
Salaam wadau,
Kuna swali huwa najiuliza ukweli/uhalisia wake huku nikijua hii sababu huwa ni mojawapo ya wadada kumpa mwanaume penzi.
Hivi ni kweli unaweza kumpa mwanaume penzi kisa umemuonea huruma?
Kama ni kweli, inamaana umekuwa umesukumwa na nini?
Hisia gani za kimapenzi kwa huyo mtu?
Je utakuwa na feeling kweli?
Yaani eti kisa amekufukuzia muda mrefuuuu miaka say 5yrs, then eti umemuonea huruma umeamua kumpa penzi sasa naomba kujua umekuwa umesukumwa na huruma, hisia nae?
Achilia mbali factors nyingine kama pesa, handsome, kazi,nk
Nazungumzia factors moja tuu ya kumuonea huruma
hayajanikuta so sina usemi hapa