Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
Kwa walioongea we ndo umeongea point
Kwa walioongea we ndo umeongea point
huwa mnatia huruma jaman alafu maswala ya kulalamika kuwa misuli inauma ndo huwa tunawahurumiaHalaa kumbe ukiona anakaribia kufa inabidi umuokowe kwa kumpa iyo papuchi ngoja nije
Yeah inawezekana kabisa na hata ukiangalia nature ya kutongozana ilivyo ni huruma ya mtongozwaji tu ndo inafanya mahusiano yazaliwe na kiafrica mwanamke ndiye mtongozwaji[/QUOTE
Uko sahihi kabisa ulivyojibu...
1.sasa kuna kitu najiuliza ukishamkubalia kwasababu ametia hadi huruma ukimuangalia usoni...na Kaupendo/hisia kwake za kimapenzi ndo zinaanza kuja Au una maanisha ile kumuonea huruma ni nature tuu ya kutongozwa unajikuta unasema ngoja tuu ukubali usimtese mwenzio
2.Je na wale wanawake ambao anamkubali bila kumuonea huruma...yaani baada ya kutongozwa tuu anafeel huyu jamaa mfano IKIGIJO Simuachi lazima tuu ntamkubalia...yaani unakuwa ulishamkubalia moyoni unachosubiria ni tongozo lake tuuu.
3.Je Huruma hii ya Mtongozwaji ndani yake mwanzoni kabla ya kumpa jamaa inakuwa na Hisia ndani au ni huruma tuu ili jamaa asiendelee kumsumbua sumbua....Nataka kutofautisha kumpa Mwanaume kwa kumuonea huruma na yule anaepewa bila kuonewa huruma...
Yaani hawa wanaume wawili...hawaoni kama wakiwa peke yao mmoja anaweza kujisifu kwa mwenzie kuwa wewe ulionewa huruma ndo maana ukapewa na ulisumbuka muda mrefu....ila mimi mtu huyo huyo haikuchukua muda mrefu..that is sikuonewa huruma ila ni jitihada zangu nikapewa....
Unasemaje kuhusu hilo?
Abeeeeh
Hahahahaaaaaa sijawahifikia hiyo haliInawezekana sana maana mwanaume akizidiwa huwa anakaribia kufa inabid umuokoe tu
Wapo wenzakoHahahahaaaaaa sijawahifikia hiyo hali
Umeshawahi kuwahurumia wangapi mama hurumaYan hata kileleni haufiki hakuna hisia unakaza moyo tu labda mwanaume awe romantiki na ww ufanye kuvuta hisia za mapnzi
Nimeshawahi kumhurumia mheshimiwa fulani hivi 1 tu maana niliona roho na mwili vinatengana mtu mzma akililia machoz papuchi unaweza pata laanaUmeshawahi kuwahurumia wangapi mama huruma
Naomba uzoefu wako katika kutoa huruma ya mtindo huu hii huruma ni hatari ety eeeehWapo wenzako
Ur romantic charting especially in social media....Which used unknown ID.Abeeeeh
Duuuuuh yaan hapa mbavu sina hahahaaaaaa tumbo langu wweeeeeee kabisa ni muheshimiwa!!!Nimeshawahi kumhurumia mheshimiwa fulani hivi 1 tu maana niliona roho na mwili vinatengana mtu mzma akililia machoz papuchi unaweza pata laana
mm ni Romantic Girl hata hivyo huku private na public piaUr romantic charting especially in social media....Which used unknown ID.
Yan asikwambie mtu ningepata laana mm jamanDuuuuuh yaan hapa mbavu sina hahahaaaaaa tumbo langu wweeeeeee kabisa ni muheshimiwa!!!
Aiseeeeee!!!!! Kumbe uko poa eeeeehmm ni Romantic Girl hata hivyo huku private na public pia
Uko mkoa gani mama hurumaYan asikwambie mtu ningepata laana mm jaman
Mkoa wa waheshimiwaUko mkoa gani mama huruma