ha ha ha ha kwa nini hivyoNipe nikupe. Hutaki jifyekelee mbali
Halloo baby Mambo vipi"
Poa nambie"
Safi tu mpenzi wangu mzima lakini ??
Me mzima hila?"
Hila nini prince wangu"
Naumwa beby"
Jamani pole unaumwa nini?
Naumwa JINO linanisumbua sana"
Dah pole kipenzi toka lini?
Leo nimemaliza wiki"
Duh pole sana baba afu prince nikwambie kitu
mme wangu"
Ndiyo nambie"
Mwenzio nataka hela ya kusuka na
yakwendea shopping? kesho"
Oooh shngap?
ELF HAMSINI TU"
Duh nilikuwa nayo sasahvi ila nimemtumia
mama anaumwa"
Mh jamani hauna ata buku hapo"
Yaani sina nina tsh. mia tu lbda uijie ukale
kitumbua"
Pumbavu wewe kuanzia leo sitaki mazoea
tena futa namba yangu mjinga wewe bahili
mkubwa wewe"
Hata mimi sikutaki hila unajipendekeza jitu
unapenda hela utafikili we benki bana muone
sura gumu utafikilia magwaji nyooooooo"
Samahani prince nilikuwa nakutania
nakupenda mwaa"
Namimi nilikuwa nakutania baby mwaaa
Nakubaliana na ww mkuu kwa 100% ,,mm huwa nazima simu kabisa asubuh nawasha mchana
Always mizinga kwannza sio unigonge bure usepeTatizo mnatanguliza kutupiga mizinga kwanza!!
Bahati mbaya unapata watype hiyoHapo ndo mnapokosea,unakuta dem amekupa namba asubuh jion ananza kukuambia shida zake...mnatakiwa mtusome kwanza hela itakuja baadae mpaka we utafurah!
Hata tukitoa bure mnatudharau tu. Hamna tofauti. Kama uchi ni wa thamani basi unapaswa kulipiwaHapana,tatizo wanawake wengi kuutoa uchi wao mpaka mpewe hela hamuoni kama mnaushusha thaman