Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Kwenu wadada mnaopenda kufakamia savanna, msifikiri ni sifa kufakamia mi savanna, hapo mjue mnafakamia mi sukari tu ambayo inahatarisha afya zenu!! Utakuta mdada anafakamia misavana kama ameambiwa kiwanda kinafungwa! Kunywa kwa kiasi 2 hadi 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app