Wadada boresheni mapenzi style ya gangnam style mchezee mmeo

UseName: Natalia
JF Senior Expert Member

Join Date : 3rd July 2011

Posts : 880
Rep Power : 549
Likes Received 198

Likes Given 0


Dada tangia ujiunge hapa haujawahi kufurahishwa na mchango wowote? Likes Given 0. Napata wasiwasi kama kweli unajali wewe!
 
UseName: Natalia
JF Senior Expert Member

Join Date : 3rd July 2011

Posts : 880
Rep Power : 549
Likes Received 198

Likes Given 0


Dada tangia ujiunge hapa haujawahi kufurahisha na mchango wowote? Likes Given 0. Napata wasiwasi kama kweli unajali wewe!

Stop stalking me and you did stole my password .i changed it and now your desperate.I'm to have fun none of this adds anything in my life .mind your business and if you think your smart than anybody well why are you here ?stealing peoples password that is what you do get a life .Its me Natalia
 
Stop stalking me and you did stole my password .i changed it and now your desperate.I'm to have fun none of this adds anything in my life .mind your business and if you think your smart than anybody well why are you here ?stealing peoples password that is what you do get a life .Its me Natalia

Huko uliko wamekuudhi kweli, kwani ulichoandika hapa nafikiri unamjibu huyo uliyenaye hapo na siyo wanaJF. I think you are supporting this saying " If you can not convince them, confuse them". Unfortunately, this is a field of Great Thinkers; thus, you can not manage to confuse us. It is wiser to respond to the argument accordingly rather than jumping here and there or keep quiet. Kukaa kimya nayo ni busara.
Why should I steal your password? What is so special in your JF inbox? My sister come out of the box.
Fun does not mean laughing at you but even challenging you.
However, I love you so much my Tanzanian Sister and I promise you that I won't challenge you again. Good day.
 
jamani changieni uzi acheni mambo mengine! mmeambiwa msivae nguo, muwachezee waume zenu" sipati picha mie na huu ubapa wangu eti nipo uchi mpaka ofisini kwa hubby!! watasema ni ule msukule wa lamadi bureeee, Kongosho njoo ASAP nieleweshe hapa, maana shule za kata ziliharibu ubongo pasi na kujua! lol!
 
jamani changieni uzi acheni mambo mengine! mmeambiwa msivae nguo, muwachezee waume zenu" sipati picha mie na huu ubapa wangu eti nipo uchi mpaka ofisini kwa hubby!! watasema ni ule msukule wa lamadi bureeee, Kongosho njoo ASAP nieleweshe hapa, maana shule za kata ziliharibu ubongo pasi na kujua! lol!

Hahaha cacico
 
Last edited by a moderator:
jamani changieni uzi acheni mambo mengine! mmeambiwa msivae nguo, muwachezee waume zenu" sipati picha mie na huu ubapa wangu eti nipo uchi mpaka ofisini kwa hubby!! watasema ni ule msukule wa lamadi bureeee, Kongosho njoo ASAP nieleweshe hapa, maana shule za kata ziliharibu ubongo pasi na kujua! lol!

Hapo penye bold labda alikuwa anamaanisha wanawake siyo lazima wavae nguo wakiwa ktk mazingira ya nyumbani na wakati huo wawachezea waume zao kuongeza mapenzi! Je ktk hali ya kawaida inawezekana kutembea bila nguo?

Kwa mtazamo wangu si wazo baya kwa wadada, huenda hii itasaidia wanaume tusiwachoke wake zetu kama ndugu yangu Mpungati alivyomchoka mkewe na kuamua kutembea na mke wa rafiki yake. Inawezekana mkewe kakosa ubunifu kama huu! Hapa msininukuu, nafikiria kipuuzi tu. Lakini ukweli ni kuwa huyu ndugu yangu popote pale alipo namshauri aache hiyo tabia na kumpenda mkewe maana kuna hatari ya mabaya kumkuta!
 
jamani changieni uzi acheni mambo mengine! mmeambiwa msivae nguo, muwachezee waume zenu" sipati picha mie na huu ubapa wangu eti nipo uchi mpaka ofisini kwa hubby!! watasema ni ule msukule wa lamadi bureeee, Kongosho njoo ASAP nieleweshe hapa, maana shule za kata ziliharibu ubongo pasi na kujua! lol!

.hahahahahaha cacico mke mwenza leo tukusanyane na Kongosho na Yummy tumchezee Asprin hahahahahahahana..............


.......hahahahah tahadhari jamani waume zenu wanaweza watoa mbio, watahisi mnawawangia hahahahah
 
Last edited by a moderator:
Hapo penye bold labda alikuwa anamaanisha wanawake siyo lazima wavae nguo wakiwa ktk mazingira ya nyumbani na wakati huo wawachezea waume zao kuongeza mapenzi! Je ktk hali ya kawaida inawezekana kutembea bila nguo?

Kwa mtazamo wangu si wazo baya kwa wadada, huenda hii itasaidia wanaume tusiwachoke wake zetu kama ndugu yangu Mpungati alivyomchoka mkewe na kuamua kutembea na mke wa rafiki yake. Inawezekana mkewe kakosa ubunifu kama huu! Hapa msininukuu, nafikiria kipuuzi tu. Lakini ukweli ni kuwa huyu ndugu yangu popote pale alipo namshauri aache hiyo tabia na kumpenda mkewe maana kuna hatari ya mabaya kumkuta!

......nyumba zenyewe za uswahilini hizi mmmmh...........
 
Natalia, hiyo Gangnam Style ni ya ovyo sana. Mume utamfanya akukimbie bana, labda Mudhungu.

Mambo yote ni WINE Style au hii Twerk, weeeewe!!!!

 
Last edited by a moderator:
Stop stalking me and you did stole my password .i changed it and now your desperate.I'm to have fun none of this adds anything in my life .mind your business and if you think your smart than anybody well why are you here ?stealing peoples password that is what you do get a life .Its me Natalia

Napenda kudhihirisha upendo wangu wa dhati kwa lugha uliyo tumia.(wataalamu wa lugha hii mmenielewa)
 
Back
Top Bottom