Wadada acheni ushamba kwenye Dating Apps

Niliingia tinder nikamtokea manzi mmoja akajinia juu eti yeye sio malaya bali anauza nguo. Nilikasirika nikamuuliza umeona hii ni Kikuu au Kupatana.com
Huwa inanikera Sana hii ishu

Mtu unamtokea tinder anadai yeye hayupo hapo kwa mahusiano

Wadada wa bongo bwana viazi kweli kweli
 
Ngoja waje uwape miongozo... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kusema kweli nashindwa kuwaelewa mabinti/wadada wa Kitanzania (sio wote) kwenye mitandao ya kutafta mahusiano ama dating apps. Sijui ni ushamba ama ugumu wa kuelewa.

Mitandao kama Tinder, Badoo, Hitwe, Tantan, Match.com, na mingineyo ni mitandao mahususi kwa datings na inaitwa kabisa dating apps, mtu anajiunga eti anatafta marafiki, marafiki? Hao marafiki umewakosa Facebook, Instagram, Twitter ama hata huko kazini kwako ama kanisani uje kuwatafta Tinder?

Datings apps kazi yake ni 2 tu, ama unatafta long term relationship ama hook up basi. Sasa unakuta mle watu wanataka marafiki na mbaya zaidi unakuta mle mtu eti anauza vitu anatafta wateja. Na kuna kipindi niliwahi kukutana na watu wa network marketing kina Good Morning qnet na wengine wanatafta watu wa kuwapa fursa. Unajiuliza WTF.

Dada zangu, zile ni Dating Apps na kutaftia mume, mke, mchepuko ama mshikaji wa kula nae utamu once in a while kama mtu wako anazingua na sio za kutaftia marafiki.

Kwa mimi na wengine ambao muda wa socialization ni mchache, huku ndio tunakoponea. Sasa usije huku kutuambia unatafta marafiki. Hao kawataftie kwenye social media nyingine na sio dating apps. Msituharibie michongo.

ki ukweli hili jambo hata mm huwa linaniumiza na kunishangaza sana! kuna wengine unamfata unamtongoza anaanza oooh sipo humu kutafuta mabwana
 
Kuna wanawake wa maana sana kule sio wauza nyapu tu.

Lakini pia kama ni wauza nyapu ndio hao hao walioko mtaani. Mitandao haina watu wake tofauti na tulionao mitaani.

Usiwe na mawazo ya kizamani ya watu ambao hawakwenda shule na wajinga, Dunia imebadilika nateknolojia inarahisisha maisha kila siku. Kwamba we can meet online halafu tukapelekana kanisani.
Hvi zile za kulipia sijui uwe Gold or Silver member zinakuaga na cha ziada kipi!??
 
Kipindi cha nyuma natumia Tinder niliwahi kukutana na mdada flani humo na kati ya picha alizoweka ni CV yake na ameweka maelezo anatafuta kazi 😀
Nikaingia inbox nikamcheki japo tubadili channel nimpunguzie strees zake za ajira as long as ni dating site, kwa kweli alinigombeza sana utadhani mimi ndiyo nimemsababishia akose ajira.
 
ki ukweli hili jambo hata mm huwa linaniumiza na kunishangaza sana! kuna wengine unamfata unamtongoza anaanza oooh sipo humu kutafuta mabwana
Ukiona kakujibu hivyo huyo ni Muuzaji chipukizi
 
Kipindi cha nyuma natumia Tinder niliwahi kukutana na mdada flani humo na kati ya picha alizoweka ni CV yake na ameweka maelezo anatafuta kazi 😀
Nikaingia inbox nikamcheki japo tubadili channel nimpunguzie strees zake za ajira as long as ni dating site, kwa kweli alinigombeza sana utadhani mimi ndiyo nimemsababishia akose ajira.
Nyie watu hamko siriaz mnaachaje kutafuta mtaani na mnawafuata wa tinda wamechachuka kiasi hicho?🤣
 
Back
Top Bottom