KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
kweli elimu yetu haina manufaa tena inabidi serikali itafute namna ya kuazima walimu kutoka mataifa makubwa ili waturekebishe, sasa hivi hata kiswahili watu wamekiharibu sana ya R na L zinachanganywa ili hali kuna baraza la kiswahili vile vile kuna kitengo pale mlimani cha kuratibu hii lugha na wamekaa kimya. ukienda vyuo vikuu nako madudu.... why??????