Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Habari wapendwa.
Kuna hii tabia hawa wahubirio kanisani kudhani kuwa kila muumini pale anajua kiingereza. Nashauri mkihubiri mtumie lugha inayoeleweka kwa kila aliyepo pale, zaidi ya hapo hakika ni kelele tu. MFUNDISHE MTU AELEWE, NA SIYO KUJIFANYA UNAJUA LUGHA NYINGI. Tumieni lugha rahisi. JUZI JUMAPILI NIMEONDOKA KWENYE IBADA BAADA YA KUKERWA NA KELELE ZA KIINGEREZA CHA MHUBIRI.
Kuna hii tabia hawa wahubirio kanisani kudhani kuwa kila muumini pale anajua kiingereza. Nashauri mkihubiri mtumie lugha inayoeleweka kwa kila aliyepo pale, zaidi ya hapo hakika ni kelele tu. MFUNDISHE MTU AELEWE, NA SIYO KUJIFANYA UNAJUA LUGHA NYINGI. Tumieni lugha rahisi. JUZI JUMAPILI NIMEONDOKA KWENYE IBADA BAADA YA KUKERWA NA KELELE ZA KIINGEREZA CHA MHUBIRI.