APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,044
- 8,602
tukiwa na stong currency maana yake....value for money inaonekana,welfare ya citizens huonekana,prices zinakuwa relative stable,na vilevile export hapo lazima iwe greater than import ili na balance of payments iwe favourablenini faida ya strong currency kwenye uchumi ?
nini faida ya strong currency kwenye uchumi wa nchi isiyo na export za kutosha??
nini faida ya strong currency kwa watu wa taifa husika ambao ni masikini na maisha yao ni pangu pakavu??