samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Kuna hii hali kidogo inachanganya sana kwangu na kwa watu wengine bila shaka, WATAALAMU WA UCHUMI TUNAOMBA MTUSAIDIE HAPA TAFADHALI;
1. Hela inapokuwa ngumu halafu bei za vitu zinapanda au kubakia palepale wakati upatikanaji wa hela ukiwa na unafuu - hii inaashiria nini na nini tafsiri yake??.
2. Mzunguko wa hela unapokuwa mdogo - nini athari za kiuchumi kwa wananchi husika??..
3. Kipi kifanyanyike taifa na wananchi wake wawe na uchumi bora na wenye nguvu??
4. Nini msingi wa uchumi wenye nguvu utakaodumu kwa miaka zaidi ya 100??.
1. Hela inapokuwa ngumu halafu bei za vitu zinapanda au kubakia palepale wakati upatikanaji wa hela ukiwa na unafuu - hii inaashiria nini na nini tafsiri yake??.
2. Mzunguko wa hela unapokuwa mdogo - nini athari za kiuchumi kwa wananchi husika??..
3. Kipi kifanyanyike taifa na wananchi wake wawe na uchumi bora na wenye nguvu??
4. Nini msingi wa uchumi wenye nguvu utakaodumu kwa miaka zaidi ya 100??.