dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Wachumi kutoka nchi za china na vietnam wanashangaa umaskini wa tz na kwenda mbali zaidi na kusema viongozi wetu wanamaneno mengi kwelli kuliko uhalisia wa kiuchumi hilo limemfanya hadi waziri mkuu Pinda kukiri kuwa uchumi jinsi unavyozungumzwa hauna uharisia na hari jinsi ilivyo. Wachumi hao wameenda mbali na kudai Tanzania haitakiwi kuwa kkt hari hii kwa kila kitu inacho.
my take
kawa wageni wasocialist wenzetu wa zamani wanatuonea huruma hivi watanzania tumelogwa kiasi hiki na viongozi wetu walioko madarakani mbona ZAMBIA,KENYA, MALI nk wameweza? vp LIBYA, MISRI nk wao wananini na sisi tunashindwa na nn?
source tanzania daima na mwananchi
my take
kawa wageni wasocialist wenzetu wa zamani wanatuonea huruma hivi watanzania tumelogwa kiasi hiki na viongozi wetu walioko madarakani mbona ZAMBIA,KENYA, MALI nk wameweza? vp LIBYA, MISRI nk wao wananini na sisi tunashindwa na nn?
source tanzania daima na mwananchi