The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
hongereni sana.
hongereni sana.