Wakuu.
Naomba wataalamu Wa uchumi mtusaidie ni sababu ipi iliyopelekea biashara nchini kudoroara na hili lipo wazi kwani hata IMF wamesema uchumi wetu sasa umeshuka kasi ya ukuaji.
Najaribu kuwaza miaka ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete biashara ilishamiri sana na kasi ya ukuaje wa uchumi ikapaa sana.
Nini kimetokea na sababu ni nini?
Naomba wataalamu Wa uchumi mtusaidie ni sababu ipi iliyopelekea biashara nchini kudoroara na hili lipo wazi kwani hata IMF wamesema uchumi wetu sasa umeshuka kasi ya ukuaji.
Najaribu kuwaza miaka ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete biashara ilishamiri sana na kasi ya ukuaje wa uchumi ikapaa sana.
Nini kimetokea na sababu ni nini?